Tuesday 3 December 2013

NINGEPENDA KUWAELEZEA JUU YA MDALASINI WADAU WANGU

Nawashukuru kwa kuniunga mkono na kushiriana nami katika maswala misosi , hivyo baadhi ya wadau wangu walipenda nielezee juu ya mdalasini.
    
                                      MDALASINI
Hiki ni kiungo kimojawapo katika mapishi tofauti tofauti kwa mfano pilau, chai hata pia katika mchuzi wa kawia(brown stock). Lakini mdalasini ni dawa kwa upande mwingine kwa upande wa wakina Baba, Kaka hii hutasaidia hasa katika kuuza ndoa zetu au kuimarisha ndoa zetu pia unaweza sema inaongeza nguvu za kiume. Lakini si mdalasini pekee yake lazima uchanganye na asali pamoja na chai basi ukichanganya hivyo vitu utapata dawa kamili ya kuuza ndoa yako mpenzi.
 
                                  FAIDA YA MDALASINI KATIKA CHAKULA

           -Huleta radha safi katika chakula
           -Huleta harufu safi katika chakula
           -Huvutia hamu ya kula chakula
           -Huongeza nguvu za kiume kwa wakina baba pamoja na waki kaka

Kama nilivyosema hapo awali kwamba mdalasini ukichanganya na asali pamoja na chai unapata dawa safi ambayo husaidia kutibu baadhi ya magonjwa kama vile 
      -Maumivu ya viungo vya mwili
      -Pia husaidia kukuza nywele kama mtu akiwa amenyonyokwa na nywele kichwani
      -Pia kama nivyosema hapo awali husaidia kuongeza nguvu za kiume

AHSANTENI SANA WADAU WANGU WOTE NAHITAJI SANA USHIRIKIANO WENU ......!!!!

3 comments:

  1. Kama sikosei, vilevile inawasaidia akina mama upande wa kuyapunguza maumivu ya hedhi.

    ReplyDelete