Saturday 28 December 2013

KARIBUNI TUJIFUNZE JINSI YA KUTENGENEZA KACHUMBALI YA MATUNDA(FRUITS SALAD)


         MAHITAJI
  -Ndizi(banana)
  -Embe(mango)
  -Nanasi(pineapple)
  -Machungwa(orange)
  -Sukari(sugar)
  -Maji(water)

     HATUA ZA KUANDAA
 -Weka sufuria yako jikoni pamoji na maji na sukari yako, acha mpaka ichemke na iyeyuke sukari, baada ya kuyeyuka sukari yako ipua sufuria yako na uhifadhi hayo maji katk bakuli na uweke katk friji yako huo mchanganyiko unaitwa(syrup).
 -Katakata matunda yako yote kwa mkato wa pembe nne(cubes) ila ukiwa unakata hakikisha tunda la liwe ni ndizi (banana), baada ya hapo weka katika bakuli lako.
 -Baada ya kukatakata matunda yako yote chukua ule mchanyiko wako wa maji na sukari(syrup) na uchanganye pamoja , baada ya hapo weka ktk friji tena mpaka chakula chako kitapokuwa tayari na userve pamoja.....!!!!
  
NAKUTAKIA KACHUMBALI NJEMA..............!!!!!!!!!!!
 HERI YA KRISMAS NA MWAKA MPYA............!!!!!!!!!!!
 AHSANTENI SANA WADAU WANGU.............!!!!!!!!!!!!!!!
 BY IRON CHEF JACKSON










































1 comment:

  1. nashukuru lakini ingekuwa vizuri zaidi kama ungeweka vipimo vya hayo maji na matunda.

    ReplyDelete