Thursday 13 August 2015

KARIBUN TUJIFUNZE JINSI YA KUTENGENEZA MARBLE KAKE

Hii inaliwa na watu                   6 - 8
Muda wa maandalizi ni dakika      15
Muda wa kupika                             50


MAHITAJI
- Mayai 3
- Siagi 3/4 kikombe
- Chumvi pinch
- Unga wa ngano  1 -1/3 vikombe
- Baking powder 1 kijiko kimoja cha chai
- Sukari  1 kikombe
- Cocoa powder 1/2



JINSI YA KUPIKA

  1. Vunja mayai yako na utenge viini pamoja na utete, yeyusha siagi yako. Changanya utete wa mayai yako pamoja na chumvi na unachanganye vizuri, na baada ya hapo chukua unga wako wa ngano na uchangaye na baking powder pamoja.
  2. Chukua Siagi yako uliyeyusha na uchanganye na sukari yako, baada ya hapo changanya pamoja na viini vya mayai na uendelee kuchanganya.
  3. Chukua unga wako wa ngano ambao uliuchanganya pamoja na baking powder na uchanganye ktk ule mchanganyiko wako wa siagi, sukari na viini vya mayai.
  4.  Baada ya hapo changanya na ule uteute wa mayai ambao unamchanganyik wa chumvi u fold pamoja.
  5. Washa oven yako nyuzi joto 400F
  6. Chukua ule mchanganyiko wako na uugawe ktk sehem mbili,.
  7. Baada ya kugawa mchanganyiko ktk mabakuli, basi bakuli moja wapo changaya na cocoa powder.
  8. Baada ya hapo paka baking tray yako siagi kidogo
  9. Baada hapo weka mchanganyiko wako kwa awamu yaani, utaanzaa labda kuweka mchanganyiko ambao hauna cocoa powder kidogo ktk baking tray then utaweka na ule mchanyiko amabao hauna cocoa powder, hutafanya hivyo kidogo kidogo mpaka baking tray yako itakapo kuwa full na baking tray ni moja michanganyiko yote miwili ktk baking tray moja



KARIBUNI SANA 


BY 

IRON YOUNG CHEF JACKSON

No comments:

Post a Comment