Wednesday 12 August 2015

                                        JINSI YA KUPIKA TOMATO SAUCE
- Hii ni sauce ambayo utokana na nyanya kupitia tomato sauce unaweza kudhalisha sauce mbali mbali kma vile
  - Chill sauce
  - Arrabiata sauce
  - Boleness sauce n.k


Mahitaji
- Nyanya
- Vitunguu maji
- Vitunguu swaumu
- Leeks
- Sukari kijiko cha kimoja cha chai
- Tomato paste
- Tangawizi
- Maji au vegetable stocka
- Mafuta ya kupikia
- Corriender
- Chumvi


                      JINSI YA KUANDAA
1: Osha nyanya zako na ukate kwa style uipendayo, na uweke kwenye chombo kisafi.
2: Osha vitunguu maji na uchopped pamoja na leeks
3: Blend vitunguu swaum pamoja na tangawizi
4: Chopped corriender(kotimiri)


                      JINSI YA KUPIKA

  1. Weka sufuria yako jikoni na uweke mafuta yako kidogo ya kupikia.
  2. Weka vitunguu maji pamoja na vitunguu swaum na tangawizi ulivyo blend na uweke na leeks pamoja na kotimiri
  3. Baada ya hapo weka nyanya zako na ukoroge koroge na uache mpaka nyanya ziive na uweke maji yako kiasi.
  4. Baada ya hapo uweka tomato paste yako, na uendelee kukoroga kidogo.
  5. Weka chumvi pamoja na sukari na ukoroge na uiche kwa muda wa dakika 5 na uzime ujiko.
  6. Baada ya hapo chukua na uiblend na huo mchuzi utakao patikan ndio sauce yenyewe.


NOTE
Kupitia sauce hiyo unaweza kupikia chakula chochote upendacho kam TAMBI, BEEF, CHICKEN, N.K



KARIBUNI SANA


BY

IRON YOUNG CHEF JACKSON


No comments:

Post a Comment